Usiingilie mambo ya mtu mwingine bila kibali kutoka kwa Mungu. Kuingilia mambo ya mtu mwingine bila kibali kutoka kwa Mungu ni dhambi. Dhambi hiyo itakuathiri. Hivyo, jali mambo yako ya mwingine Mungu anayafanyia kazi hadi utakapoitwa na Mungu kuingilia kati. Kuingilia kati mambo ya mtu mwingine kunaweza kuathiri mpango wa Mungu katika maisha yake. Hivyo, acha.

About This Quote

About Enock Maregesi

Enock Maregesi.

Themes

  • God — Spiritual reflections on the divine, faith, and creation
  • Life — Reflections on the meaning, challenges, and beauty of life

More quotes by Enock Maregesi

Related Quotes